For a better experience please change your browser to CHROME, FIREFOX, OPERA or Internet Explorer.
  • UGONJWA WA NGIRI KWA MWANAUME
  • UGONJWA WA NGIRI KWA MWANAUME
Description
Price : Price On Call
Date : July 18, 2022
Condition : New
Warranty : No
Location :Arusha

ngiri

UGONJWA WA NGIRI/HERNIA NA UNAVYOATHIRI NGUVU ZA KIUME

Ugonjwa huu mara kwa mara huwapata wanaume, ni ugonjwa ambao umesha wakumba wanaume wengi sana. Na kujikuta wanakosa tiba zaidi ya oparesheni.

Ugonjwa wa ngiri hujitokeza wakati sehemu ya utumbo inapoteleza na kupenya katikakati ya msuli wa utumbo, na kuingia katika kende moja, au sehemu ya juu ya paja.lakini wakati mwingine hujitokneza pale msuli unaotenganisha mapafu na utumbo unapotoboka na kufanyikia kwa mkusanyiko wa majimaji kwenye sehemu ya juu ya utumbo au sehemu ya chini ya mapafu.

NGIRI ni hali yenye kusababisha maumivu makali sana na mara nyingi huhitaji tiba ya haraka zaidi hata hivo unaweza kuzuwia kupata tatizo hili katika siku za usoni, pamoja na kuyatibu maumivu yanayosababishwa na tatizo hili kwa njia za kiasili na kupona kabisa, kwani ni wengi walougua tatizo hili na wamepona, baada ya kutumia supplements.

VISABABISHI VYA NGIRI
Kuna sababu nyingi zinazopelekea mtu apate ugonjwa wa ngiri, lakini hapa tazitaja chache tu,

Ukosefu wa protini mwilini.
Ukosefu wa chakula cha kutosha chenye protini mwilini, hupelekea kudhoofika kwa utando unatenganisha utumbo na mifupa inayounda kiuno na nyonga, au utando unaotenganisha mapafu na utumbo, ( diagram )

Ajali
Endapo mtu atapata ajali itakayopelekea kutoka kwa shinikizo ( pressure ) katika sehemu laini za mwili zinaziweza kupelekea kupata hernia, basi mtu huweza pata tatizo hili, kwani wakati mwingine tatizo hili hutokea hata maeneo mengine km vile katika mapafu, kichwani, nk.

Kazi ngumu
Hii pia hupelekea mtu kupata tatizo hilo, shughuli zinazohitaji kutumia nguvu kubwa pia zaweza sababisha ugonjwa huu n.k.

DALILI ZA UGONJWA WA NGIRI CHANGA

Dalili za ugonjwa huu wa ngiri ziko nyingi sana kwa hiyo hapa nitataja dalili chache tu.
Nazo ndizo hizi zifuatazo⤵
1:Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.

2:Kupiga mingurumo tumboni.

3:Kujaa gesi tumboni.

4:Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.

5:Kupata haja ngumu kama ya mbuzi.

6:Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.

7:Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.

8:Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.

9:Nuru ya macho hupotea taratibu.

10:Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.

11:Huvutwa makende au upande mmoja maumivu.

12:Hupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na puru.

13:Maumivu makali ya mgongo au kiuno

14:Uume kusimyaa na kunywea kama wa mtoto

15:Maumivu kati ya paja na kinena na hupelekea mguu kuwaka moto /kupata ganzi

16:Kupata maumivu katikati ya kifua mithili ya chembe ya moyo (hiatal hernia)

17: Tumbo kujaa na kuonekana kama una kitambi kumbe ni gas.

18:Ukila vitu vyevye sukari nying kama soda nk tumbo huunguruma sana na kujaa gas

19:Kuvimba kwa korodan ama korodan kupanda juu (moja ama zote kwa pamojafahamu

JINSI UGONJWA WA NGIRI/HERNIA UNAVYOATHIRI NGUVU ZA KIUME

Kama ngiri bado ni ndogo. Haiwezi kuathiri chochote katika nguvu za kiume. Hata hivyo, hernia ambayo imeshakuwa kubwa inaweza kuathiri nguvu za kiume.

@Huathiri utendaji wa mishipa ya neva iliyo kwenye uume/korodani na hali ya homoni.
Ukosefu wa homoni ya testosterone inaweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume.

@Upasuaji wa ngiri unaweza kusababisha shida katika korodani kufanya uwezekano wa homoni ya testosterone kuwa chini. Hata hivyo, kwa sababu watu wengi wana korodani mbili, hata kama moja inaweza kuwa na shida, nyingine inaweza kuzalisha viwango vya kutosha vya homoni.

@Ngiri hutokea kwenye maeneo ya tumboni,
Eneo la kinena,eneo la paja kwa juu,
Eneo ambalo mtu amewahi kufanyiwa upasuaji siku za nyuma
Kifuani nk: hata ivyo
Ugonjwa wa Ngiri huwapata watu wa jinsia zote na umri wowote,

@Ngiri pia huweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume kutokana na kuharibu mishipa ya neva iliyo kwenye uume.

@Ngiri huathiri kokwa na pumbu ambavyo baadhi ya viungo vya mwili vilivyomo tumboni hujipenye

Mention brbuyandsell.co.tz when calling seller to get a good deal

 


Location
Post your rating

Similiar Ads

Price On Call

NINANI?? MWENGINE ANAHITAJI AWEZE RUDIA TENDO ZAIDI YA 3 BILA MADHARA.

  • 0684450076

  • kaloleni
  • ConditionNew
  • WarrantyNo
Posted: December 14, 2022
Price On Call

SABABU ZINAZO FANYA MWANAUME AKOSE KUJIAMINI NA KUTOSHIRIKI TENDO VIZURI

  • 0684450076

  • makumbusho
  • ConditionNew
  • WarrantyYes
Posted: December 14, 2022
Tsh20,000.00 (Fixed)

Women wallets

  • 0713677412

  • Kinondoni
  • ConditionNew
  • WarrantyNo
Posted: November 20, 2022
ANATIC SOAP KAZI ZAKE
Tsh15,000.00 (Fixed)

ANATIC SOAP KAZI ZAKE

  • 0684450076

  • mwanza
  • ConditionNew
  • WarrantyNo
Posted: July 14, 2022
Tsh15,000.00 (Negotiable)

ANATIC SOAP SABUNI YA NGOZI

  • 0684450076

  • Dodoma
  • ConditionNew
  • WarrantyNo
Posted: July 14, 2022
Top Download on Google Play
Download on Google Play
en English
X