For a better experience please change your browser to CHROME, FIREFOX, OPERA or Internet Explorer.
Profile Pic
Tsh300,000,000.00 (Negotiable)

Kiwanja Kina Nyumba Tatu Ndani Kinauzwa Chanika

  • Kiwanja Kina Nyumba Tatu Ndani Kinauzwa Chanika
  • Kiwanja Kina Nyumba Tatu Ndani Kinauzwa Chanika
  • Kiwanja Kina Nyumba Tatu Ndani Kinauzwa Chanika
  • Kiwanja Kina Nyumba Tatu Ndani Kinauzwa Chanika
  • Kiwanja Kina Nyumba Tatu Ndani Kinauzwa Chanika
  • Kiwanja Kina Nyumba Tatu Ndani Kinauzwa Chanika
  • Kiwanja Kina Nyumba Tatu Ndani Kinauzwa Chanika
  • Kiwanja Kina Nyumba Tatu Ndani Kinauzwa Chanika
  • Kiwanja Kina Nyumba Tatu Ndani Kinauzwa Chanika
  • Kiwanja Kina Nyumba Tatu Ndani Kinauzwa Chanika
Description
Price : Tsh300,000,000.00 (Negotiable)
Type : Sell
Date : April 1, 2022
Location :upanga,lugalo & magore st
  • Kiwanja kipo katika eneo lililokuwa mradi wa iliyokuwa PSPF zamani, eneo la CHANIKA- BUYUNI- KIGEZI, ni Plot No 192, Block  14, CHANIKA – BUYUNI, ILALA DISTRICT.
  • Kina ukubwa wa Square Metre 1405, Kimezungushiwa ukuta, na ukuta wa mbele una ventilation structures ( matoleo ya hewa)
  • Ndani ya eneo hili kuna nyumba tatu zilizo katika mitindo tofauti.
  • Nyumba mbili za pembeni vyumba vyake vyote ni self contain, ya katikati ina vyumba vitatu sio self contain.
  • Kila nyumba ina sitting room, zinatofautiana ukubwa, kuna iliyo kubwa na ina public toilet, kuna nyingine mbili zenye ukubwa tofauti.
  • Nyumba kubwa ina nafasi kubwa zaidi kwa vyumba na bath tab ya kisasa.
  • Maji na umeme wa TANESCO vyote vipo.
  • Taa za ukutani kwenye ukuta wa fence na kila verandah zipo.Majiko mawili ya kisasa , miti ya matunda mbalimbali kama machungwa,mapera,maembe, mastafeli, mapapai na mananasi mengi sana. Gardern ya majani maua na miti ya kivuli ipo.
  • Hii site ipo umbali wa kilometa tatu na nusu toka kwenye barabara kuu inayotoka Pugu kuelekea Chanika.
  •  Ni eneo tulivu kwa jinsi lilivyopimwa na majirani waliopo.
  • Kwa ujumla vyumba vya kulala self contain vipo vitano, ambavyo sio self vipo vitatu, public toilet moja, sitting room tatu na open verandah tano, tank la maji liko katila mnara mrefu kwa hiyo maji hushuka kwa presha kubwa sana.
  • Bado kuna eneo kubwa la wazi ndani na nje ya fence kwa kuwa square metre 1405 ni eneo kubwa na tulivu.
  • Barabara zimepangika vizuri sana
  • Panaweza kutumika kwa namna nyingi, kuishi,hotel,Bar,Guest house,office,kupanga, tourist etc.
  • Sehemu kubwa ya kupaki magari ndani na nje ya fence
  • Bei ni Tshs 300,000,000/=

ID:eddy

For more details contact us +255 623 000 333 or visit our website https://brbuyandsell.co.tz

Mention brbuyandsell.co.tz when calling seller to get a good deal

 



Location
Post your rating

Similiar Ads

$1,500,000.00 (Negotiable)

PROPERTY FOR SALE IN KANGE -TANGA

  • 0621900333

  • Amverton Office Park, Lugalo & Magore St - Upanga, Dar es salaam. ARUSHA Office:2nd Floor, Said Condo Hotel, Kaloleni – St Thomas Street.
  • ConditionUsed
  • WarrantyNo
Posted: November 17, 2023
Tsh5,000,000.00 (Fixed)

Nyumba inauzwa bagamoyo mjini

  • 0767077358

  • 1225
  • ConditionUsed
Posted: August 5, 2023
Tsh1.20

SHULE YA SECONDARY INAUZWA ILALA DAR

  • 0624000333

  • pox 7916 Dar Es Salaam
  • ConditionUsed
  • WarrantyNo
Posted: February 27, 2023
Tsh11,950,000.00 (Negotiable)

599 Sqm Plot For Sale At Mwongozo, Kigamboni With

  • 0713883366

  • Mwongo, kigamboni, Kituo cha Mowngozo, Mzee Bunju kwa Zamani
  • ConditionNew
  • WarrantyNo
Posted: January 31, 2023
Nyumba Inauzwa Madale,Dar es salaam.
Tsh280,000,000.00 (Negotiable)

Nyumba Inauzwa Madale,Dar es salaam.

  • 0624000333

  • upanga,lugalo & magore st
Posted: January 27, 2023
Top Download on Google Play
Download on Google Play